BREAKING NEWS

VIDEO

BIASHARA

USHAURI WETU

Tuesday, February 9, 2016

CHANGAMOTO KWENYE UJASIRIAMALI NA SULUHISHO

Ndugu rafiki, miezi kumi nilipo anza hii biashara nilikumbana na vitu vizito sana katika kuyafikia mafanikio na malengo niliyo lenga ningeyafikia haraka ndani ya biashara ya mtandao!
Nilijaribu kutumia mbinu mbali mbali ambazo kila mfanya biashara wa kawaida hufundisha ktk masomo ya kila siku;
��Niliambiwa ANDIKA MAJINA 100 KISHA TUMA KWA WATU WAKO WOTE UTAPATA MAJIBU MAZURI.
Nilijaribu lakini kilichonipata kiliniidhoofisha zaidi.
��Niliambiwa kila siku nishirikishe watu 5 kwa mwezi nitakuwa na watu 150. Nilijaribu lakini sikupata matokeo mazuri
��Niliambiwa kila siku nitume post moja facebook, nilituma sikuwa napata like hata moja na sikuweza kutengeneza matunda yoyote tofauti na kupoteza muda!


HIZO NI BAADHI YA MBINU NILIZO FUNDISHWA LAKINI SIKUWEZA KUPIGA HATUA KABISA KIBIASHARA. 


Ni dhahiri kuwa wengi tumekuwa tukijiunga na biashara ya mtandao na kuanza,kukimbilia RAFIKI,NDUGU ,JAMAA MBALI MBALI AMBAO TUNA MAZOEA NAO.
��Hilo sio SOKO lililokusudiwa kukupa uhuru wa kipato, ni soko ambalo SIO LA KUDUMU MAISHANI MWAKO!
KATIKA MADA ZETU TUTAKAZO JIFUNZA NI PAMOJA NA KUJUA NAMNA YA KUTENGENEZA KIPATO KISICHO KUWA NA KIKOMO KUTOKA KWENYE SOKO LILILOSAULIKA.
Kuna njia kuu mbili za kutengeneza pesa ndani ya biashara ya mtandao baada tu ya kujiunga
1. Watu ambao tayari wameshajiunga na biashara hii ya mtandao, ndani ya kampuni yako au kampuni nyingine.
Kuna njia ambazo ni rahisi ambazo zitakusaidia kupunguza gharama na kukupa faida kubwa ambayo usingetegemea kuipata!
2. Watu ambao WANATAFUTA FURSA YA BIASHARA YA MTANDAO.
Ni watu wengi wanatafuta fursa hii kila kukicha, hivyo ni jukumu lako mkufunzi kumwonesha mteja wako kuwa unaweza kumfikisha katika ndoto.
Unajua mteja HUCHAGUA MTU GANI?
~Huchagua kiongozi ambaye atamfikisha kwenye ndoto zake na kuishi maisha ya ndoto zake
~Huchagua mtu mwenye UTAJIRI WA MIFUMO HALALI YA KIBIASHARA AMBAZO ZINAKATA GHARAMA NA KUONGEZA FAIDA!
Sio hivyo tu unaweza kupanua kipato chako rafiki, KUMBUKA UNAPOJIUNGA UTAKUTANA NA ASILIMIA 98 YA SOKO LAKO (MARAFIKI ULIOTARAJIA KUWASHIRIKISHA) TAYARI WANA BIASHARA ZAO.
Tuta kufundisha namna ya kutengeneza kipato chako kwa kutatua changamoto za WAFANYA BIASHARA WENGI KUWA NA KIPATO KINACHOPITILIZA CHOTE KWENYE MATUMIZI NA KUTOKUWA ENDELEVU.
Nina imani utafurahia ukitatua hili na hebu fikilia ni WANGAPI WANALALAMIKA NA HILI KATIKA JAMII YAKO?
WENGI SANA, NDIVYI HIVYO HIVYO UTAKAVYOTENGENEZA KIPATO KIKUBWA KWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATU ZINAZO WAKUMBA KUHUSU ELIMU YA PESA!
Nitafurahi kuungana nami kuweza kutumiza ndoto zako kwa kuungana nami

Post a Comment

 
Copyright © 2013 WEZESHA TRUST FUND
Powered by WordPress24x7