BREAKING NEWS

VIDEO

BIASHARA

USHAURI WETU

Tuesday, February 2, 2016

CHARITY BEGINS AT HOME


Mkurugenzi wa Wezesha Trust Fund Bi Lusako Mwakiluma akiwa pamoja na wafanyakazi wenzake Ezma Mgaya(Afisa Maendeleo ya Jamii) na William Matajiri(Afisa Ugavi) wakitoa msaada katika kituo cha kulelea watoto yatima cha DAH-LUL Mkoani Morogoro kwa ajili ya kusherehekea pasaka, 2013
Wezesha Trust Fund ikikabidhi baadhi ya vyakula kwa Kituo cha watoto walemavu na wenye utindio wa ubongo Amani Centre – Morogoro –Kulia ni Mkurugenzi Bi Lusako Mwakiluma,  Mweka Hazina Bi Evetha Richard na Afisa Maendeleo jamii Bi Ezma Mgaya na kushoto ni Mkurugenzi wa Kituo cha Amani


Post a Comment

 
Copyright © 2013 WEZESHA TRUST FUND
Powered by WordPress24x7