BREAKING NEWS

VIDEO

BIASHARA

  • JINSI YA KUMJALI MTEJA KATIKA BIASHARA YOYOTE

  • USHAURI WETU

    Tuesday, December 27, 2016

    WEZESHA TRUST FUND - MOROGORO YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA

    WEZESHA TRUST FUND WALIPOTEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA BIGWA - MGOLOLE TAREHE 26/12/2016.  WALITOA MISAADA  MBALIMBALI KUSHEREHEKEA SIKU YA KUFUNGUA ZAWADI   PAMOJA...

    Sunday, December 25, 2016

    USIMKOPESHE RAFIKI AU NDUGU YAKO

    Kwa nini leo nimefikiria haya?  Naomba nikwambie pesa ni jawabu la mambo yote namadhambi yote yameanzia kwenye pesa.   Unaweza kuwa na rafiki au ndugu mliyeshibana sana...

    JE, KUWA TAJIRI KUTAKULETEA FURAHA

    Kwa nini unataka kuwa na pesa nyingi, je pesa nyingi zitakupatia amani au furaha?  Kuwa na pesa nyingi itakupatia amani.   Kama utakuwa na pesa nyingi  utalipa...

    Sunday, December 11, 2016

    FORTUNE TEAM WAKIFANYA USAFI SABASABA HOSPITAL - MOROGORO

    Wezesha Trust Fund wakiwafundisha kazi za kujitolea Fortune Team kutoka shule ya sekondari Uwanja wa Taifa siku ya 1 Desemba, 2016 kuazimisha siku ya Ukimwi Duniani, Timu ya Fortune...

    NJIA TANO ZA KUONGEZA UJASIRI WAKO

    1.   Chagua watu wenye ujasiri na wenye hari ya chanya ndani yake Kaa na watu wenye ujasiri, ukikaa na watu wenye ujasiri nawe utakuwa jasiri kwani utajifunza kupitia wao...

    Tuesday, October 4, 2016

    KILA NYUMA YA MWANAMKE JASIRI YUKO YEYE MWENYEWE

    Kama watu wana wasiwasi kwa ukubwa wa mafanikio uliyonayo,  wewe endelea kufanikiwa zaidi  hautawasikia tena wakisema kuhusu wewe. Maisha ya mwanamke shujaa/Jasiri...

    Friday, September 9, 2016

    MECHI KATI YA POLISI MORO NA MAWENZI MARKET SIKU YA WEZESHA DAY AGOSTI-2016

    Bonanza lililofanyika siku ya “WEZESHA DAY” ni Mechi kati ya Mawenzi Market na Polisi Moro lilidhaminiwa na Wezesha Trust Fund ili kuchangia kufanya utafiti na kukuza vipaji kwa...

    WEZESHA TRUST FUND KUTIMIZA MIAKA MINNE KWA USAFI NA BONANZA - MOROGORO

    Wezesha Trust Fund imetimiza miaka minne tangu kuanzishwa Agosti, 2016  kwa kuwa karibu na Jamii inayoizunguka kama vile Hospitali ya Sabasaba iliyoko katika kata ya Mafiga...

    Sunday, March 20, 2016

    FIKIRIA KAMA MBUNIFU ILI UWE MTU MWENYE UMAKINI WAKATI WOTE

    Wakati unafikiria mawazo yako ya ndani ni kwamba uko tayari kuzalisha kitu kizuri ulichobuni kama mbunifu;  Wakati wote unatakiwa kuwa hivyo ili uweze kuleta kitu cha tofauti...

    Friday, March 11, 2016

    MAISHA NI SAFARI YENYE MILIMA NA MABONDE

    Wapendwa naamini kwa uwezo wa Mungu mmeshinda salama, leo napenda kutoa mada fupi na ya kutiana moyo wenyewe kwa wenyewe, kwa mtazamo wa macho ya nyama maisha ni magumu sana, lakini...

    Saturday, March 5, 2016

    WANAWAKE NA FURSA-UJUMBE KWA WANAWAKE WA TANZANIA 8 MACHI, 2016

    Tanzania ni mwanachama mwaminifu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki – Kutokana na milango kuwa wazi sasa Mheshimiwa Rais wetu Magufuli ametuhakikishia tunaweza kuvuka mipaka na kujitanua...

    Monday, February 29, 2016

    MAISHA NI RAHISI SANA UKITULIA NA KUTAFAKARI

    Napenda kutoa mada fupi na ya kutiana moyo wenyewe kwa wenyewe, kwa mtazamo wa macho ya nyama maisha ni magumu sana, lakini katika mtazamo wa kiroho maisha ni ya kawaida na hayataki...

    Tuesday, February 9, 2016

    CHANGAMOTO KWENYE UJASIRIAMALI NA SULUHISHO

    Ndugu rafiki, miezi kumi nilipo anza hii biashara nilikumbana na vitu vizito sana katika kuyafikia mafanikio na malengo niliyo lenga ningeyafikia haraka ndani ya biashara ya mtandao! Nilijaribu...

    Monday, February 8, 2016

    MAMBO SITA YANAYOWEZA PELEKEA UMASKINI

     Watu wengi wanakufa masikini na wanashindwa kufikia mafanikio yao bila wao kujua tatizo ni nini,imekuwa kama ugonjwa watu wengi kuendelea kulalamikia serikali au wazazi wao...
    Page 1 of 41234 >
     
    Copyright © 2013 WEZESHA TRUST FUND
    Powered by WordPress24x7